”Serikali inaratibu utolewaji wa elimu na huduma za afya kwa watoto mashuleni”Naibu Waziri Dkt. Festo.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) amesema Serikali kupitia Halmashauri imeendelea kuratibu utolewaji wa elimu na huduma za afya kwa watoto walioko shuleni, hususani kwenye magonjwa ya Malaria, minyoo, kichocho, saratani ya mlango ya kizazi, afya ya kinywa na meno pamoja na macho. Amesema hayo leo tarehe 06 Februali 2023